Search

69 results for Filbert Rweyemamu :

  1. Tanzania kusaka fursa za madini Afrika kusini

    Serikali ya Tanzania inatarajia kuongeza idadi ya kampuni mpya za utafiti na uchimbaji madini pamoja na ubia kwenye kampuni za huduma na usambazaji wa bidhaa katika sekta hiyo kupitia ushawishi...

  2. Taha yawezesha upatikanaji wa soko la ndizi Kenya

    Asasi ya kilele inayojishughulisha na kilimo cha mbogamboga, matunda na mimea itokanayo na mizizi na viungo Tanzania Horticultural Association (Taha) imemewezesha upatikanaji wa soko la ndizi...

  3. Neema yaja kwa wakulima tangawizi Same

    Tani 44 za zao la Tangawizi zitakuwa zikisafirishwa kila wiki kutoka nchini hadi kwenye masoko ya kimataifa kupitia kampuni ya Akida Group Export Company Ltd hatua itakayowanufaisha wakulima wa...

  4. DC Mjema apiga marufuku kuwatoza fedha machinga ili kupewa maeneo

    Mkuu wa wilaya ya Arusha, Sophia Mjema amepiga marufuku wafanyabiashara ndogo kutozwa fedha kwa ajili ya kupangiwa maeneo mengine ya kufanyia biashara na kuondolewa maeneo ya sasa.

  5. Kesi ya vyama vya siasa kusikilizwa Novemba

    Majaji watano wa Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), wamekubali maombi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania, kuunganisha kesi namba 3 ya mwaka 2019 iliyofunguliwa na vyama vitano vya...

  6. EACJ kutoa mwelekeo kesi za kupinga Sheria ya Vyama vya Siasa

    Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) itatoa mwelekeo wa kesi mbili zilizofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Tanzania na Katibu Mkuu...

  7. Diwani, Meya watofautiana kuliita baraza lililopita kuwa la Chadema

    Diwani wa Kata ya Ngarenaro katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Isaya Doita ametofautiana na Meya wa jiji hilo, Maxmillian Iranqhe kuliita baraza la madiwani lililopita kuwa la Chadema badala...

  8. Watano wafa ajalini, mmoja ajeruhiwa

    Watu watano wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea leo Jumatano Septemba 08, 2021 saa 10 alfajiri katika barabara ya Arusha na Moshi eneo la Konoike Kijiji cha...

  9. EAC yajivunia kuogezeka kwa biashara kati ya Tanzania na Kenya

    Wakati Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Peter Mathuki akitimiza siku 100 tangu ameshika wadhifa huo amesema yapo mafanikio ya kujivunia katika kipindi kifupi ambayo ni...

  10. Temdo kutengeneza mashine za kuzalisha sukari

    Wakulima wadogo na binafsi wa miwa nchini wataondokana na changamoto ya kukosa masoko ya bidhaa zao baada ya taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo nchini (Temdo) kutengeneza mitambo midogo yenye...

Page 1 of 7

Next